VIONGOZI WA PAROKIA

VIONGOZI WA PAROKIA

Tuesday 10 March 2015

TANGAZO TANGAZO JUMAMOSI TAREHE14-3-2015 TUTAENDA HIJA BOKO

Tarehe 14-3-2015 Jumamosi vijana wote tufike parokiani saa12:30 asubuhi kwa ajili ya kwenda HIJA BOKO, usafiri ni buure tutalipiwa na uongozi wa viwawa parokia.
Huko tutasali NIJA YA MSALABA itakayo anza saa3 asubuhi kisha ibaa ya MISA TAKATIFUitakayo fuatiwa na SEMINA KWA VIJANA wote..
Kwakua wengi watapend akufunga hivyo kila kijana atajitegemea katika suala la chakula hivyo hakuna gharama zozote zitakazotozwa kwa kijana yoyote yule.
TWENDENI SOTE TUKACHOTE BARAKA

No comments:

Post a Comment