VIONGOZI WA PAROKIA

VIONGOZI WA PAROKIA

Sunday 29 March 2015

ILIVYOKUA JANA KATIKA MAFUNGO VIJANA PAROKIA PUGU tarehe28-3-2015

Picha ya pamoja ya vijana wacchache walio udhuria wakiwa katika msalaba ulioko katika msitu wa biblia ya ardhini.

CHUKUA MDA WAKO KUANGALIA PICHA ZOTE KWENYE KILA SLIDE ZIKO ZAIDI YA200
            

Slide hapo juu zina onesha SEMINA na IBADA kama tulivyoogozwa na Padre CALISTI alitufudisha mengi sana mada kuuilikua ni DHAMIRA YA MWANADAMU.
Jisi yakutambua DHAMIRA inayo faa na isio faa.
Hivi ndivyo ilikua tulivyoenda kutembelea biblia ya ardhini kwanzia kitabu cha MWANZO hadi UFUNUO WA YOHANE. Pia kulikua na picha zamafundisho mbalimbali ya kiroho na kiimani zaidi kweli pata kitu kikubwa sana huko.
MAPENDOOO......
picha na #deomkawe


No comments:

Post a Comment