VIONGOZI WA PAROKIA

VIONGOZI WA PAROKIA

Thursday 19 March 2015

MATCH DAY THIS SUNDAY 22-3-2015

Jumapili hii tarehe 22-03-2015 mida ya saa9 jioni katika viwanja vya EBONITE COLLEGE Vijana wa kigango cha GOLANI watachuana vikali kabisa na vijana wa kigango cha BARUTI.
Mtanange huo ambao utahusisha mamluki kama Msuva wa Simba B na wengine wengi utanogeshwa na burudani toka vikundi mbali mbali vya vijana Parokia.
MATCH
VIJANA KIGANGO CHA GOLANI vs VIJANA KIGANGO CHA BARUTI

No comments:

Post a Comment