VIONGOZI WA PAROKIA

VIONGOZI WA PAROKIA

Monday 20 June 2016

VIWAWA MASHABIKI WA SIMBA NA YANGA DAKIKA 90 (0 - 0)

Siku ya Historia katika Parokia ya ubungo-msewe katika chama cha vijana (VIWAWA) ambako mashabiki wa Yanga Na Simba walikutana kati kati ya dimba kubwa sana MSEWE PRI STADIUM kwa dakika 90 tu.

Kila timu ilijipanga vizuri kabisa kwa ushindi Wa mabao 3 zaidi.

Meneja wa Yanga Fc Mr. Kato alisema "Simba ni watoto tu tutawafunga 15 kwa 0 leo hii pia..... (Tembelea channel yetu YouTube kusikiliza majungu hayo VIWAWAMSEWE)
Meneja wa Simba Fc Mr. Paulo alisema haya " Yanga ni watoto kwetu Na Sisi goli zetu..... (Tembelea channel yetu YouTube kusikiliza majungu hayo VIWAWAMSEWE)

Mpaka dakika 90 kuisha hakuna timu iliyochungulia lango la mwenzake kialali

YANGA:
1)kona 3
2)faulo 4
3) offside 6
4) majeruhi 2

SIMBA:
1)kona 4
2)faulo 3
3) offside 2

1 comment: