VIONGOZI WA PAROKIA

VIONGOZI WA PAROKIA

Sunday 3 January 2016

PICHA ZA MATUKIO YA BEACHMASS tarehe 31/12/2015 MBEZI BEACH

Misa iliongozwa na Askofu Thithusi Mdowe (Askofu wa Jimbo la Mtwara) akisaidiwa na mapadri wa jirani wa parokia hizo... Pia Askofu Thithusi Mdowe alitumia muda huo kwa kuwaaga vijana(viwawa) wake... (tunaomba radhi kwa kushindwa kupiga picha juu ya Ibada hii yote nikuwa nje ya uwezo wetu)